Serikali yaombwa kuanzisha mfuko maalumu wa mikopo

Mbunge wa jimbo la Musoma mjini mhe. Vedastus Mathayo,akiwashauri wajasiliamali katika manispaa hiyo kutumia vema fedha zamikopo wanayoipata katika kuinua hali zao kiuchumi.
Nao baadhi ya wajasiliamali wa Imara Saccos, wamesema elimu na ushirikiano ndiyo nguzo kuu ya kuwawezesha kufanya biashara zao kwa faida zaidi katika kupambana na umasikini miongoni mwao.
katika mkutano huo wa wajasilimali mbunge huyo wa jimbo la Musoma mjini ametoa ahadi ya kutoa kiasi cha shilingi milioni mbili kwa Saccos na vikundi ambavyo tayari vimesajiriwa huku akikabidhi shilingi milioni tatu kwa ushirika huo wa imara saccos.

No comments

Kamati zapewa mafunzo ya kupambana na ukatili

KAMATI za kupambana na masuala ya ukatili wa kijinsia katika halmashauri ya wilaya ya Rorya zimepewa mafunzo ya kupambana na masuala ya ...

Powered by Blogger.